Mkurugenzi wa Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi, (wa tatu kushoto), akiteta jambo na baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Zabuni na Menejimenti ya Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, na Mshauri mwelekezi kutoka Wakala wa Majengo ya Serikali (TBA) wakati wa ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi...