Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete, akisoma moja ya Nyaraka ya Kihistoria, kulia kwake ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Regina N. Qwaray, na kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firi...