Tanzania emblem

Ofisi ya Rais

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa

Building photo
dg name
Bw. Firimin M. Msiangi
Mkurugenzi

Mnakaribishwa kwenye Tovuti ya Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. Kumbukumbu na...
Soma zaidi

Nyaraka ya Juma
Weekly document

Machi 12, 1990, aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati, Ali Hassan Mwinyi alilitaka Baraza la Mawaziri kujiuzulu ili aweze kuunda baraza jipya, agizo hilo la kujiuzulu liliwahusu pia Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu.