Picha ya pamoja ya Wajumbe wa Bodi ya “ESARBICA” wakiwa na Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Urithi na Utamaduni, Mhe. Kazembe Kazembe (waliokaa wa tatu kutoka kulia) na Viongozi Waandamizi wa Wizara, Taasisi ya Nyaraka za Taifa ya Zimbabwe, walioshiriki Mkutano wa “ESARBICA” tarehe 16-20 Juni, 2025, Jiji la Victoria Falls, nchini Zimbabwe.