Mkurugenzi wa Idara ya Waasisi na Maktaba za Marais wastaafu, kutoka Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Salum Kyando (aliyesimama), akichangia jambo wakati wa semina ya maadili, rushwa, UKIMWI na magonjwa yasiyoambukiza, iliyofanyika katika makao makuu ya idara jijini Dodoma, Aprili 15, 2025.