Tanzania emblem

Ofisi ya Rais

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa

Building photo

Habari

Ziara ya Kikazi ya Wajumbe wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar


Wajumbe wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na Viongozi na Watendaji wa Afisi ya Rais Ikulu Zanzibar na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakifuatilia mada kuhusu utunzaji wa nyaraka kupitia mifumo ya TEHAMA iliyokuwa ikiwasilishwa na Bw. Sigfrid Ngowi, Afisa Tehama Mwandamizi kutoka Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati hiyo katika Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.