Tanzania emblem

Ofisi ya Rais

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa

Building photo

Habari

Ziara ya Kikazi ya Wajumbe wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar


Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi (kushoto) na Katibu Mkuu, Afisi ya Rais Ikulu - Zanzibar Bw. Salehe Juma Mussa (kulia) wakifuatilia mada juu ya utunzaji wa nyaraka kupitia TEHAMA iliyowasilishwa Bw. Sigfrid Ngowi, Afisa Tehama Mwandamizi (hayupo pichani) kutoka Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa kwa Wajumbe wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati hiyo katika Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.