Tanzania emblem

Ofisi ya Rais

Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa

Building photo

Habari

Mafunzo Kazi ya kuwajengea uwezo kuhusu matumizi sahihi na  salama ya Kumbukumbu na Nyaraka Serikalini Watumishi wa VETA


Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu Bw.  Athanas Kolokota akitoa mafunzo  kwa Timu ya Menejimenti ya VETA  (hawapo pichani)  kwa lengo la kuwajengea uwezo kuhusu matumizi sahihi na  salama ya Kumbukumbu na Nyaraka Serikalini.