Afisa Kumbukumbu Mkuu Bi.Pendo Sindato akimwonyesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa moja ya nyaraka zilizoko katika Kit
Afisa Kumbukumbu Mkuu Bi.Pendo Sindato akimwonyesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa moja ya nyaraka zilizoko katika Kituo cha Kumbukumbu Kanda ya Ziwa baada ya kuzindua kituo hicho jijini Mwanza